According to the founder and chief judge Madam Rita Paulsen of Epic Bongo Star Search, the show will be aired on TBC1 and not ITV as usual.
Through her facebook account she says, after reading your comments, I'd like to explain two important reasons as to why Epiq Bongo Star search 2013 will be aired in TBC1. The first reason is due to business purposes and the second reason is the digital revolution where by TBC1 is available via most decoders such as DSTV, Star Times and Zuku in comparison to ITV..
Lifestyle
Showing posts with label Music. Show all posts
Showing posts with label Music. Show all posts
Sunday, August 11, 2013
Sunday, August 4, 2013
INTERVIEW WITH RAY C KUHUSU UJIO WAKE MPYA.
Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu, hitmaker wa Niwe Nawe Milele, Rehema Chalamila aka Ray C anatarajia kurejea tena kwa kishindo kwenye muziki. Ray C anatarajia kuonekana rasmi kwenye shughuli za kawaida na za muziki wiki ijayo. Azungumza kuhusu maisha yake sasa hivi, alivyobadilika na ujio wake mpya kimuziki.
Kuhusu kama yupo tayari kufanya muziki:
I am more than ready, wakati nipo huku nilikuwa naandika andika nina nyimbo kama tatu nne hivi kali sana. Sema ningependa tu kuwaambia mashabiki wawe na uvumilivu kwasababu wameniombea sana na wengi kwenye Instagram, Facebook walikuwa ‘when are you coming back, we miss you’ vitu kama hivyo. Na mimi ningependa kuwaambia tu kwamba wiki ijayo ndio narudi rasmi, kwa wale ambao walikuwa na wasiwasi, ‘where is Ray C, Ray C atarudi tena kwenye muziki’ na vitu kama hivyo. Tutaanza kuingia studio next week, kila kitu kitaanza next week. Lakini kama nyimbo kuandika na kila kitu vyote viko tayari.
Kuhusu aina ya nyimbo atakazokuwa akiimba zaidi:
Nafikiri sasa hivi ntabase kwenye maisha zaidi. Nafikiri watu wanahitaji kujua mambo ya maisha zaidi. Unajua mimi tangu mwanzo nilikuwa naimba mapenzi, ofcourse nyimbo za mapenzi zitakuwepo sema ntabase zaidi kwenye mambo ya maisha.
Kuhusu mabadiliko aliyonayo sasa:
Ray C ni kibonge sasa hivi, Ray C amenenepa kidogo. Najua mashabiki wakiangalia kwenye Instagram wanasema ‘dada vipi bana’ lakini najua njiani huko ntapunguapungua. Lakini Ray C wa sasa hivi sio kale kembambaa kale mlikokazoea kale. Sasa hivi Ray C kidogo amevuta shavu kwahiyo wakiniona wasishangae. Halafu pia kwa sauti niko fit sana. Yaani all along nilikuwa nafanya zaidi mazoezi kwasababu nimepata sana muda wa kupumzika, mazoezi ya kuimba, yaani nimeona nipo tofauti na zamani.
Kuhusu sababu za kunenepa:
Si unajua tena maisha mazuri, kula kula vizuri, kutulia kwa muda bila kufanya kazi ndio maana nikafutuka kidogo lakini ntafanya mazoezi, ntapungua si unajua lazima nipungue kidogo ili niweze kuimiliki stage,vile nilivyokuwa zamani au better zaidi.
Kuhusu wasanii wapya anaowasikiliza:
Namsikiliza sana ambaye namkubali ni mdogo wangu Recho. I think kwasababu muziki wake kidogo umefanana na wangu kwahiyo napenda ladha yake halafu kuna Diamond pia namsikiliza, ni msanii ambaye anafanya vizuri sasa hivi kwahiyo namsikiliza pia kuna kitu gani hapo watu wanakipendea zaidi niibeibe maideas hapo nifanye kazi nzuri.
Kuhusu alivyojiskia baada ya kusikia nyimbo za Recho:
Recho mimi namjua kabla hajatoka na alikuwa anapenda sana nyimbo zangu, alikuwa anasikiliza sana nyimbo zangu. Mara ya kwanza nimemuona alikuja akaniambia ‘dada Rehema naomba nikuimbie wimbo mmoja’ akaniimbia ‘Umenikataa Bila Sababu’, akaniimbia nyimbo kama tatu hivi. Kwahiyo namjua kabla hata hajaingia studio. Kwahiyo nilikuwa najua kabisa nimemuinfluence kiasi gani.
All the best to Ray C.
Sunday, July 28, 2013
Nicki Minaj and DJ Khalid 'situation'. Should Nicki say yes?
He insists that he is genuinely serious about all of this,
pointing out that he has worked hard to get her the right ring, which
just happens to be a 10 karat radiant cut diamond ring worth $500,000!
That is a nice bit of ice!
Furthermore, DJ Khaled points out that they have a lot in common. He said, “We got the same symptoms, we’re both suffering from success.” After all, like Nicki he is so successful in his own career, wit six albums to date and is about to drop his seventh on Sept. 24. Both are extremely respected in the hip-hop/rap community,very compatible!

Khaled has been in love with her for a long time. He admits that he has had his eye on her since the two filmed the “Take It To The Head” video in 2012. So these are not just emotions that have suddenly overcome him!He said, “I would have proposed to you last year, at the ‘Take It To The Head’ video, but you know, things got better for me.”
He held up that gorgeous ring to the video camera in hopes of tempting her. Khaled is mature, he is 37-years-old, and he seems like a confident and sincere guy. He is not a young boy toy who is falling over himself to be a celebrity’s husband — he has his own highly developed sense of self.
To finish his video, Khaled says it’s “your move.”

![]() |
| She is not exactly trying to hide the ring, is she? |
BUSTA RHYMES TO PERFORM IN NAIROBI COMING SEPTEMBER.
The celebrated American singer, producer and actor will be the first major American rapper to visit Nairobi in as many years. Early in his career, Trevor Tahiem Smith, Jr, for that is his real name, was known for his wild style and fashion. Today he is best known for his intricate rapping technique, which involves rapping at a fast rate with lots of internal rhyme and half rhyme. He has received eleven Grammy nominations for his musical work.
Wednesday, July 24, 2013
BUY CPWAA'S MUSIC VIA iTunes, Google Play, Amazon MP3 now!
Tanzanian music artist Cpwaa has recently finished distributing his first album "Pwaa The Album" and singles like "Hmmm" and "Mambo" in the following websites: iTunes, Google Play, Amazon MP3, Spotify, Xbox Music, Deezer, Simfy, MySpace Music, Nokia, Wimp, Verve Life, Media Net, eMusic, Shazam, Muve Music, iHeartradio and Napster.
Thursday, July 18, 2013
Tuesday, July 16, 2013
Drake Explains Why He Missed The 2013 BET Awards
Drake was a no-show at the 2013 BET Awards even thought he lead the pack with a total of 12 nominations.
The Young Money rapper recently reached out to BET to explain his absence and apologize for missing the big show.
“The BET Awards are always a good time and I’m sorry I could not be
there to celebrate,” he said in a statement. “I’m in Toronto due to a
family matter but I have a lot of gratitude for BET and the fans.”
.
He added, “Getting 12 nominations and winning three awards just makes
me want to work that much harder. I’ll be in the studio finishing Nothing Was the Same — I look forward to bringing it to the fans on Would You Like a Tour in September."
Drake won awards for Video of the Year, Best Collaboration and
Coca-Cola Viewers’ Choice Award, tying with the night’s other top winner
Kendrick Lamar.
Nothing Was the Same, the rapper’s third studio album, is due for a September 17th release.
Tuesday, June 18, 2013
WHAT SHE WORE: FEMALE ARTIST LADY JAYDEE ON HER 13TH ANNIVESARY SHOW.
Monday, June 10, 2013
Friday, June 7, 2013
COUNTING HOURS TO THE BIGGEST ENTERTAINMENT EVENT IN TANZANIA, THE KILIMANJARO MUSIC AWARDS
Mpigie kura msanii unayetaka ashinde tuzo hizi. Wapiga kura wanatakiwa kuandika namba ya msanii, wimbo, kikundi au
bendi anayotaka ishinde na kisha kutuma kwenda namba 15346. Njia
nyingine zaidi ya ujumbe mfupi (SMS) ni pamoja na Email, kwenda ktma@innovex.co.tz au kutembelea tovuti ya www.kilitimetz.com na kupiga kura moja kwa moja.

msanii bora wa hiphop
Fid Q,
Msanii bora wa Kiume

msanii bora wa hiphop
Fid Q,
Joh Makini,
Kala
Jeremiah,
Profesa
J,
Stamina
Wimbo bora wa Mwaka
Dear God Kala Jeremiah,
Mapito - Mwasiti Ft Ally Nipishe,
Me and You -Ommy Dimpoz Ft Vanessa Mdee
Pete - Ben Pol.
Ben Pol,
Diamond,
Linex,
Mzee Yusuf
Ommy Dimpoz.
Msanii bora wa kike
Khadija Kopa,
Lady JayDee,
Mwasiti
Msanii
bora wa kiume Bongo Fleva
Ally Kiba,
Ben Pol,
Diamond,
Linex
Ommy Dimpoz
![]() |
Msanii bora wa kike Bongo Fleva
Linah,
Mwasiti
Recho
Shaa
Msanii bora anaechipukia
Ally Nipishe,
Angel,
Mirror
VanessaMdee
Video Bora
Baadae - Ommydimpoz
Kamili gado - Profesa_Jay
Marry me - Rich Mavoco,
Nichum -Bob Jr
Mtunzi bora wa mashairi Bongo Fleva
Ally Kiba,
Barnaba,
Benpol,
Linex
Ommydimpoz
Joh Makini,
Kala Jeremih,
MwanaFA
Stamina
Fid Q
Mtunzi bora Mashairi kwenye Band
Greyson Semsekwa,
Jonico Flower
Jose Mara
Khaleed Chokoraa
Mtayarishaji bora muziki wa kizazi kipya
Bob Juniour,
C9,
Imma the Boy,
Man Water,
Marco Chali
Mensen Selekta
wimbo bora wa bongo pop
Aifora - Linex
Baadae - Dimpoz,
Chuki Bure-Sharo,
Marry me-Mavoco
Wimbo bora wa kushirikiana
Chuki bure -Sharo Milionea Ft Dully Sykes
Mapito-Mwasiti Ft Ally Nipishe
Me & You, Ommy Dimpoz Ft Vanessa mdee
Sihitaji marafiki - Fid Q Ft Yvinne Mwale
wimbo bora wa hiphop
Alisema -Stamina,
Bum Kubam -Nikki wa II,
Dear God -Kala Jeremiah,
Nasema nao - Nay
Wimbo bora Afrika Mashariki
Fresh all day - Camp Mullah
Make you dance - Keko
Maswali ya polisi - DNA
Still a Liar - Wahu
Valuvalu -Jose Chameleone
wimbo bora wa zouk & rhumba
Gubegube -Barnaba,
Mapito - Mwasiti
Nashukuru umerudi - Recho
Ni wewe - Amini
bendi bora ya mwaka
The African Stars Band,
Mapacha Watatu,
Mashujaa Band
Mlimani Park Orchestra (Sikinde)
Msondo Ngoma Music Band.
Wednesday, June 5, 2013
Thursday, April 18, 2013
Beyonce ...'Bitch'?
The video for an advertisement for pepsi previews her upcoming release, Mirrors. In the video, Beyonce is faced with previous incarnations of herself from past singles.
The video arrives just days after Beyonce outed herself as a "modern-day feminist" in Vogue. As opposed to what? A suffragette in the early-1900s?
Subscribe to:
Posts (Atom)




























