Showing posts with label Music. Show all posts
Showing posts with label Music. Show all posts

Sunday, August 11, 2013

Rita Paulsen explains reasons as to why Bongo Star Search will no longer be aired in ITV.

According to the founder and chief judge Madam Rita Paulsen of Epic Bongo Star Search, the show will be aired on TBC1 and not ITV as usual. 
Through her facebook account she says, after reading your comments, I'd like to explain two important reasons as to why Epiq Bongo Star search 2013 will be aired in TBC1. The first reason is due to business purposes and the second reason is the digital revolution where by TBC1 is available via most decoders such as DSTV, Star Times and Zuku in comparison to ITV.. 

Sunday, August 4, 2013

INTERVIEW WITH RAY C KUHUSU UJIO WAKE MPYA.



Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu, hitmaker wa Niwe Nawe Milele, Rehema Chalamila aka Ray C anatarajia kurejea tena kwa kishindo kwenye muziki. Ray C anatarajia kuonekana rasmi kwenye shughuli za kawaida na za muziki wiki ijayo. Azungumza kuhusu maisha yake sasa hivi, alivyobadilika na ujio wake mpya kimuziki.


Kuhusu kama yupo tayari kufanya muziki:

I am more than ready, wakati nipo huku nilikuwa naandika andika nina nyimbo kama tatu nne hivi kali sana. Sema ningependa tu kuwaambia mashabiki wawe na uvumilivu kwasababu wameniombea sana na wengi kwenye Instagram, Facebook walikuwa ‘when are you coming back, we miss you’ vitu kama hivyo. Na mimi ningependa kuwaambia tu kwamba wiki ijayo ndio narudi rasmi, kwa wale ambao walikuwa na wasiwasi, ‘where is Ray C, Ray C atarudi tena kwenye muziki’ na vitu kama hivyo. Tutaanza kuingia studio next week, kila kitu kitaanza next week. Lakini kama nyimbo kuandika na kila kitu vyote viko tayari.

 
Kuhusu aina ya nyimbo atakazokuwa akiimba zaidi:
Nafikiri sasa hivi ntabase kwenye maisha zaidi. Nafikiri watu wanahitaji kujua mambo ya maisha zaidi. Unajua mimi tangu mwanzo nilikuwa naimba mapenzi, ofcourse nyimbo za mapenzi zitakuwepo sema ntabase zaidi kwenye mambo ya maisha.

 
Kuhusu mabadiliko aliyonayo sasa:
Ray C ni kibonge sasa hivi, Ray C amenenepa kidogo. Najua mashabiki wakiangalia kwenye Instagram wanasema ‘dada vipi bana’ lakini najua njiani huko ntapunguapungua. Lakini Ray C wa sasa hivi sio kale kembambaa kale mlikokazoea kale. Sasa hivi Ray C kidogo amevuta shavu kwahiyo wakiniona wasishangae. Halafu pia kwa sauti niko fit sana. Yaani all along nilikuwa nafanya zaidi mazoezi kwasababu nimepata sana muda wa kupumzika, mazoezi ya kuimba, yaani nimeona nipo tofauti na zamani.

 
Kuhusu sababu za kunenepa:
Si unajua tena maisha mazuri, kula kula vizuri, kutulia kwa muda bila kufanya kazi ndio maana nikafutuka kidogo lakini ntafanya mazoezi, ntapungua si unajua lazima nipungue kidogo ili niweze kuimiliki stage,vile nilivyokuwa zamani au better zaidi.

 
Kuhusu wasanii wapya anaowasikiliza:
Namsikiliza sana ambaye namkubali ni mdogo wangu Recho. I think kwasababu muziki wake kidogo umefanana na wangu kwahiyo napenda ladha yake halafu kuna Diamond pia namsikiliza, ni msanii ambaye anafanya vizuri sasa hivi kwahiyo namsikiliza pia kuna kitu gani hapo watu wanakipendea zaidi niibeibe maideas hapo nifanye kazi nzuri.

Kuhusu alivyojiskia baada ya kusikia nyimbo za Recho:

Recho mimi namjua kabla hajatoka na alikuwa anapenda sana nyimbo zangu, alikuwa anasikiliza sana nyimbo zangu. Mara ya kwanza nimemuona alikuja akaniambia ‘dada Rehema naomba nikuimbie wimbo mmoja’ akaniimbia ‘Umenikataa Bila Sababu’, akaniimbia nyimbo kama tatu hivi. Kwahiyo namjua kabla hata hajaingia studio. Kwahiyo nilikuwa najua kabisa nimemuinfluence kiasi gani.

 
 
All the best to Ray C.

BIG SEAN -Fire (Explicit)

Sunday, July 28, 2013

Nicki Minaj and DJ Khalid 'situation'. Should Nicki say yes?


He insists that he is genuinely serious about all of this, pointing out that he has worked hard to get her the right ring, which just happens to be a 10 karat radiant cut diamond ring worth $500,000! That is a nice bit of ice!
 
In his proposal, DJ Khalid said, “I love you. I like you, I want you, I want you to be mine.”
Furthermore, DJ Khaled points out that they  have a lot in common. He said, “We got the same symptoms, we’re both suffering from success.” After all, like Nicki he is so successful in his own career, wit six albums to date and is about to drop his seventh on Sept. 24. Both are extremely respected in the hip-hop/rap community,very compatible!

 Khaled has been in love with her for a long time. He admits that he has had his eye on her since the two filmed the “Take It To The Head” video in 2012. So these are not just emotions that have suddenly overcome him!He said, “I would have proposed to you last year, at the ‘Take It To The Head’ video, but you know, things got better for me.”

He held up that gorgeous ring to the video camera in hopes of tempting her. Khaled is mature, he is 37-years-old, and he seems like a confident and sincere guy. He is not a young boy toy  who is falling over himself to be  a celebrity’s husband — he has his own highly developed sense of self.

To finish his video, Khaled says it’s “your move.”

Mean while Nicki Minaj pictured wearing diamond ring on engagement finger after DJ Khaled video proposal.

 

She is not exactly trying to hide the ring, is she?

BUSTA RHYMES TO PERFORM IN NAIROBI COMING SEPTEMBER.

Multiple Grammy Award nominee Busta Rhymes will be staging his first ever Kenyan show in Nairobi come September.



The celebrated American singer, producer and actor will be the first major American rapper to visit Nairobi in as many years. Early in his career, Trevor Tahiem Smith, Jr, for that is his real name, was known for his wild style and fashion. Today he is best known for his intricate rapping technique, which involves rapping at a fast rate with lots of internal rhyme and half rhyme. He has received eleven Grammy nominations for his musical work.

Wednesday, July 24, 2013

Awkward Moment: Beyonce's hair gets snatched inside a fan..apparently the Diva kept singing flawlessly with no hesitation. Wow! Watch the Video below.

BUY CPWAA'S MUSIC VIA iTunes, Google Play, Amazon MP3 now!


Tanzanian music artist Cpwaa has recently finished distributing his first album "Pwaa The Album" and singles like "Hmmm" and "Mambo" in the following websites: iTunes, Google Play, Amazon MP3, Spotify, Xbox Music, Deezer, Simfy, MySpace Music, Nokia, Wimp, Verve Life, Media Net, eMusic, Shazam, Muve Music, iHeartradio and Napster.

Tuesday, July 16, 2013

Drake Explains Why He Missed The 2013 BET Awards

Drake was a no-show at the 2013 BET Awards even thought he lead the pack with a total of 12 nominations.
The Young Money rapper recently reached out to BET to explain his absence and apologize for missing the big show.
“The BET Awards are always a good time and I’m sorry I could not be there to celebrate,” he said in a statement. “I’m in Toronto due to a family matter but I have a lot of gratitude for BET and the fans.”

 .
He added, “Getting 12 nominations and winning three awards just makes me want to work that much harder. I’ll be in the studio finishing Nothing Was the Same — I look forward to bringing it to the fans on Would You Like a Tour in September."

Drake won awards for Video of the Year, Best Collaboration and Coca-Cola Viewers’ Choice Award, tying with the night’s other top winner Kendrick Lamar.
Nothing Was the Same, the rapper’s third studio album, is due for a September 17th release.


Izzo Bizness new song and video Feat. Barnaba & Shaa - Love Me is to be aired in Channel O soon...keep close to your TV and keep supporting Tanzanian music.











Tuesday, June 18, 2013

Friday, June 7, 2013

COUNTING HOURS TO THE BIGGEST ENTERTAINMENT EVENT IN TANZANIA, THE KILIMANJARO MUSIC AWARDS

Mpigie kura msanii unayetaka ashinde tuzo hizi. Wapiga kura wanatakiwa kuandika namba ya msanii, wimbo, kikundi au bendi anayotaka ishinde na kisha kutuma kwenda namba 15346. Njia nyingine zaidi ya ujumbe mfupi (SMS) ni pamoja na Email, kwenda ktma@innovex.co.tz au kutembelea tovuti ya www.kilitimetz.com na kupiga kura moja kwa moja.

msanii bora wa hiphop  
Fid Q, 

Joh Makini, 
Kala Jeremiah, 

Profesa J, 

Stamina

Wimbo bora wa Mwaka 
Dear God Kala Jeremiah, 
Leka Dutigite Kigoma All Stars, 
Mapito - Mwasiti Ft Ally Nipishe, 
Me and You -Ommy Dimpoz Ft Vanessa Mdee 
Pete - Ben Pol.
Msanii bora wa Kiume 
Ben Pol, 
Diamond, 
Linex, 
Mzee Yusuf  
Ommy Dimpoz.
Msanii bora wa kike
Isha Mashauzi, 
Khadija Kopa, 
Lady JayDee, 
Mwasiti 
Recho.
Msanii bora wa kiume Bongo Fleva
Ally Kiba, 
Ben Pol, 
Diamond, 
Linex 
Ommy Dimpoz

Msanii bora wa kike Bongo Fleva
Linah, 
Mwasiti 
Recho 
Shaa
 Msanii bora anaechipukia
Ally Nipishe, 
Angel, 
Bonge la Nyau, 
Mirror 
VanessaMdee
Video Bora
Baadae - Ommydimpoz 
Kamili gado - Profesa_Jay 
Marry me - Rich Mavoco, 
Nichum -Bob Jr
Partyzone  -AY
Mtunzi bora wa mashairi Bongo Fleva 
Ally Kiba, 
Barnaba, 
Benpol, 
Linex
Ommydimpoz
Mtunzi bora wa mashairi Hiphop
Joh Makini, 
Kala Jeremih,  
MwanaFA 
Stamina
Fid Q
Mtunzi bora Mashairi kwenye Band 
Chaz Baba, 
Greyson Semsekwa, 
Jonico Flower
Jose Mara 
Khaleed Chokoraa
Mtayarishaji bora muziki wa kizazi kipya
Bob Juniour, 
C9, 
Imma the Boy, 
Man Water, 
Maneke, Marco
Marco Chali 
Mensen Selekta

wimbo bora wa bongo pop 
Aifora - Linex
Baadae - Dimpoz,
Chuki Bure-Sharo,
Marry me-Mavoco 
Me & You Ommy Ft Vanessa Mdee
Wimbo bora wa kushirikiana
Chuki bure -Sharo Milionea Ft Dully Sykes
Mapito-Mwasiti Ft Ally Nipishe 
Me & You, Ommy Dimpoz Ft Vanessa mdee
Sihitaji marafiki  - Fid Q Ft Yvinne Mwale
Single boy - Ally Kiba Ft Jaydee
 
wimbo bora wa hiphop
Alisema -Stamina, 
Bum Kubam -Nikki wa II, 
Dear God -Kala Jeremiah, 
Nasema nao  - Nay 
Sihitaji Marafiki - Fid Q
 
Wimbo bora Afrika Mashariki
Fresh all day - Camp Mullah 
Make you dance - Keko 
Maswali ya polisi - DNA 
Still a Liar - Wahu 
Valuvalu -Jose Chameleone
wimbo bora wa zouk & rhumba
Gubegube -Barnaba, 
Mapito - Mwasiti
Nashukuru umerudi - Recho 
Ni wewe - Amini 
Sorry - Barnaba.
 
bendi bora ya mwaka
The African Stars Band, 
Mapacha Watatu, 
Mashujaa Band 
Mlimani Park Orchestra (Sikinde) 
Msondo Ngoma Music Band.

Gnako ft. Ben Pol- Mama yeyo


Thursday, April 18, 2013

Steal The Style: Norwegian-Kenyan singer Stella Mwangi 'STL'.

Follow her:  http://www.stellamwangi.com








Beyonce ...'Bitch'?





The video for an advertisement for pepsi previews her upcoming release, Mirrors. In the video, Beyonce is faced with previous incarnations of herself from past singles.
The video arrives just days after Beyonce outed herself as a "modern-day feminist" in Vogue. As opposed to what? A suffragette in the early-1900s?