Sunday, August 11, 2013

THE LOOK WE LOVE!




Beyonce in her new haircut. Love or Loathe?

Rita Paulsen explains reasons as to why Bongo Star Search will no longer be aired in ITV.

According to the founder and chief judge Madam Rita Paulsen of Epic Bongo Star Search, the show will be aired on TBC1 and not ITV as usual. 
Through her facebook account she says, after reading your comments, I'd like to explain two important reasons as to why Epiq Bongo Star search 2013 will be aired in TBC1. The first reason is due to business purposes and the second reason is the digital revolution where by TBC1 is available via most decoders such as DSTV, Star Times and Zuku in comparison to ITV.. 

Tuesday, August 6, 2013

Sunday, August 4, 2013

BBA THE CHASE: Africa breaks 'Oneza'.Sierra Leone, Kenya and Tanzania save Feza.


Here is how Africa voted this week (4 August 2013) – We say goodbye to Oneal (Botswana).

Here's who which country voted for:

Angola: Bimp
Botswana: Oneal
Ghana: Bimp
Kenya: Feza
Ethiopia: Bimp
Malawi: Bimp
Namibia: Bimp
Nigeria: Bimp
South Africa: Oneal
Sierra Leone: Feza
Tanzania: Feza
Uganda: Bimp
Zambia: Bimp
Zimbabwe: Bimp
Rest of Africa: Bimp

Total: Bimp = 10, Feza = 3, Oneal = 2.

(Total: 15 Votes)

MISS UNIVERSE BOTSWANA PREPARING FOR THE GRAND FINALE.


INTERVIEW WITH RAY C KUHUSU UJIO WAKE MPYA.



Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu, hitmaker wa Niwe Nawe Milele, Rehema Chalamila aka Ray C anatarajia kurejea tena kwa kishindo kwenye muziki. Ray C anatarajia kuonekana rasmi kwenye shughuli za kawaida na za muziki wiki ijayo. Azungumza kuhusu maisha yake sasa hivi, alivyobadilika na ujio wake mpya kimuziki.


Kuhusu kama yupo tayari kufanya muziki:

I am more than ready, wakati nipo huku nilikuwa naandika andika nina nyimbo kama tatu nne hivi kali sana. Sema ningependa tu kuwaambia mashabiki wawe na uvumilivu kwasababu wameniombea sana na wengi kwenye Instagram, Facebook walikuwa ‘when are you coming back, we miss you’ vitu kama hivyo. Na mimi ningependa kuwaambia tu kwamba wiki ijayo ndio narudi rasmi, kwa wale ambao walikuwa na wasiwasi, ‘where is Ray C, Ray C atarudi tena kwenye muziki’ na vitu kama hivyo. Tutaanza kuingia studio next week, kila kitu kitaanza next week. Lakini kama nyimbo kuandika na kila kitu vyote viko tayari.

 
Kuhusu aina ya nyimbo atakazokuwa akiimba zaidi:
Nafikiri sasa hivi ntabase kwenye maisha zaidi. Nafikiri watu wanahitaji kujua mambo ya maisha zaidi. Unajua mimi tangu mwanzo nilikuwa naimba mapenzi, ofcourse nyimbo za mapenzi zitakuwepo sema ntabase zaidi kwenye mambo ya maisha.

 
Kuhusu mabadiliko aliyonayo sasa:
Ray C ni kibonge sasa hivi, Ray C amenenepa kidogo. Najua mashabiki wakiangalia kwenye Instagram wanasema ‘dada vipi bana’ lakini najua njiani huko ntapunguapungua. Lakini Ray C wa sasa hivi sio kale kembambaa kale mlikokazoea kale. Sasa hivi Ray C kidogo amevuta shavu kwahiyo wakiniona wasishangae. Halafu pia kwa sauti niko fit sana. Yaani all along nilikuwa nafanya zaidi mazoezi kwasababu nimepata sana muda wa kupumzika, mazoezi ya kuimba, yaani nimeona nipo tofauti na zamani.

 
Kuhusu sababu za kunenepa:
Si unajua tena maisha mazuri, kula kula vizuri, kutulia kwa muda bila kufanya kazi ndio maana nikafutuka kidogo lakini ntafanya mazoezi, ntapungua si unajua lazima nipungue kidogo ili niweze kuimiliki stage,vile nilivyokuwa zamani au better zaidi.

 
Kuhusu wasanii wapya anaowasikiliza:
Namsikiliza sana ambaye namkubali ni mdogo wangu Recho. I think kwasababu muziki wake kidogo umefanana na wangu kwahiyo napenda ladha yake halafu kuna Diamond pia namsikiliza, ni msanii ambaye anafanya vizuri sasa hivi kwahiyo namsikiliza pia kuna kitu gani hapo watu wanakipendea zaidi niibeibe maideas hapo nifanye kazi nzuri.

Kuhusu alivyojiskia baada ya kusikia nyimbo za Recho:

Recho mimi namjua kabla hajatoka na alikuwa anapenda sana nyimbo zangu, alikuwa anasikiliza sana nyimbo zangu. Mara ya kwanza nimemuona alikuja akaniambia ‘dada Rehema naomba nikuimbie wimbo mmoja’ akaniimbia ‘Umenikataa Bila Sababu’, akaniimbia nyimbo kama tatu hivi. Kwahiyo namjua kabla hata hajaingia studio. Kwahiyo nilikuwa najua kabisa nimemuinfluence kiasi gani.

 
 
All the best to Ray C.

'She's Very Excited': Kourtney Kardashian Pregnant With Third Child?

Another addition to the Kardashian family? Well it could be a possibility following the claims that Keeping Up With The Kardashians beauty Kourtney Kardashian is expecting her third child. 

Already a mum of Mason and Penelope, it has been alleged that the TV star will soon have a new addition to her family with Scott Disick.

Whilst there has been no hints from Kourtney who showed off her trim figure by the pool in Miami last month, a source has alleged that "Kourtney has confessed she's expecting. She's very excited and only telling a select few right now - but she just couldn't keep it quiet any longer."

Who wore it better?

Beyonce Vs. Britney.

PHOTO OF THE DAY.

Photo by 'Beautiful Impressionz.'

BIG SEAN -Fire (Explicit)

FROM KINSHASA: AFRICA FASHION WEEK.